• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Bima ya Afya

Imetumwa: April 18th, 2018

ULANGA 

NA YUSTER SENGO

Afisa matekelezo pia mratibu wa bima ya afya mkoa wa morogoro Bw.Hamidu Mwambungu amesema kuwa  Bima ya afya ya NHIF na CHF iliyoboreshwa wanatarajia kujiunga kwa pamoja ili kuboresha wigo wa huduma za afya hapa nchini.

Bwana Mwambungu amesema kuwa lengo la kuungana na CHF iliyoboreshwa ni kuiboresha zaidi ili mwanachama aweze kupata  huduma za afya kutoka katika vituo vya afya kwa nchi nzima tofauti na hapo awali.

Aidha ameongeza kuwa kutokana na kuboreshwa zaidi kwa CHF mwanachama atalipia shilingi elfu thelathini kwa mwaka  badala ya shilingi elfu kumi kama ilivyokuwa hapo awali ambapo huduma hiyo ilikuwa ikitolewa katika mikoa mitatu tu ikiwemo mkoa wa Morogoro,Dodoma pamoja na Shinyanga.

Aidha Bw.Hamidu ameongeza kuwa mwanachama atapatiwa huduma zote za msingi na hivyo kuna baadhi ya huduma ambazo haziwezi kutolewa ukiwa na kadi ya CHF lakini maboresho bado yanaendelea kufanyika zaidi ili mwanachama aweze kupata huduma bora zaidi.

Akizungumzia huduma hizo zitakazoboreshwa zaidi amesema kua bima ya afya ya CHF itatoa huduma mbalimbali ikiwemo gharama za vipimo,gharama za dawa,gharama za nje na kulazwa..

 Pia bima ya afya CHF itatowa huduma kwa watoto walio chini ya miaka kumi na nane kwani afya zao zikiteteleka  katika umri mdogo hawataweza kuwa na afya nzuri yakuwawezesha  kufanya kazi kwa ufanisi na ustawi wa taifa kwa jamii zinazowazunguka.

Aidha ameongeza kuwa wanatarajia kutoa elimu kwa wanachi wa wilaya ya Ulanga juu ya kujiunga na huduma hiyo na kuwataka wananchi kujiunga na huduma hii ili waweze kupata matibabu kwa wakati.

  

MWISHO.         

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.