• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Mafanikio ya utoaji Elimu ya Kilimo Kwanza kwa Wilaya ya Ulanga

Imetumwa: December 21st, 2017

Ulanga

 

na Fatuma Mtemangani

Redio ulanga imefanya vizuri kipindi cha kilimo kwanza kwa mwaka 2017 kutoa elimu ya kilimo bora kwa wakulima kupitia sekta ya kilimo kutokana na vipindi vinavyo fanywa kila siku ya alhamisi kwa kushirikiana na shirika lisilo la kiserikali la ANSAF.

Hii imesaidia kwa wakulima kwanza kujua kilimo cha kisasa na chenye tija,kuwapatia wakulima jukwaa la kuelezea changamoto zinazowakabili kupitia redio Ulanga hasa katika zao la mpunga,namna ya kuandaa shamba, mbegu bora za kupanda shambani,muda wa kupanda mbegu shambani,muda wa kupalilia mazao pamoja na kuvuna.

Hata hivyo  kuwawezesha wakulima kupata ushauri wa kitaalam kwa kuwaunganisha na wataalamu,kuwawezesha wakulima kupaza sauti zao katika mipango na maandalizi ya sera mbalimbali na kupata fursa za masoko.

Changamoto kubwa au naweza kuliita sugu hii ni kwa tanzania nzima ni wakulima kutopata pembejeo za kilimo kwa wakati na hasa wazabuni wanao watumia wamekuwa na tabia ya kuwasinisha wakulima pembejeo ambazo sio idadi ya pembejeo waliochukua.

Aidha wananchi wamepata elimu na kuondoa uoga na kwa sasa wanahudhuria vikao vya halamashauri ya kijiji kwa kuchangia maendeleo ya kijiji husika,na wanauwezo wa kuhoji juu ya maendeleo ya halmashauri.

Pia kwa kupitia kipindi cha kilimo kwanza wakulima wa wilaya ya ulanga kwa sasa wameanza kubadilika kwani wananchi wameachana na kilimo cha mazoea na sasa wanalima kilimo cha kisasa na chenye tija,na wanalima kilimo cha umwagiliaji.

ANSAF kwa kupaza sauti zao imesaidia pia kwa ulanga kwa mwaka huu 2017 hakuna changa moto kwa wakulima kuhusu vipimo vilivyokua vikitumika kuwanyonya wakulima wakati wa mavuno kwa kuongea na afisa biashara nae kulikemea hilo,kuondoa madalali wababaishaji kwa wakulima kwa kuwabadilishia bei ya mpunga na mchele.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.