• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Mwenyekiti wa Halmashaur ya Ulanga Mh. Nassoro Kihiyo amewataka viongozi wa kata ya Ruaha kuelimisha wananchi wa kata hiyo juu ya uvaaji wa barakoa

Imetumwa: May 4th, 2020

Na.Yuster Sengo

Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Ulanga Mh. Nassoro Kihiyo amewataka viongozi wa kata ya ruaha kuwaelimisha wananchi wa ruaha kuchukua tahadhari juu ya ugonjwa wa corona na kufata yale yote yanayoagizwa na wizara ya Afya na Serikali juu ya kujinga na ugonjwa wa corona

Akizungumza mara baada ya kumaliza kukagua mradi wa ujenzi wa soko la Ruaha , Mh.Nassoro amesema kuwa kwakuwa mtendaji ni kioo kwa wananchi basi ajitahidi kuonesha mfano kwa wananchi kwa kuvaa barakoa ili wananchi hao waige kutoka kwake

“tuchukue tahadhari , watu wengine wana huu nugonjwa lakini hawaoneshi dalili zozote , Mtendaji wewe ni kioo kwenye hukchi kijiji , na wewe mwenyekiti wa kijiji na wewe pia ni kioo kwenye hichi kijiji cha Ruaha, tunategemea tukija hapa tena tukute umechukua tahadhari ili wananchiwengine wapate mfano kutoka kwako”Amesema Mh Kihiyo

“Na barakoa hizi siyo lazima za kununua za elfu tatu moja,,ukichukua tu kitambaa ukashona ukaweka na mipira basi inafaa, hata kama huna kitambaa ukikata tu kanga unaweka layer mbili tu inafaa, kwahiyo ndugu zangu tuchukue tahadhari”Ameongeza Mh. Kihiyo

Wakati huo huo Mh.Nassoro ameipongeza kamati ya ujenzi ya soko hilo kwa kazi nzuri wanayofanya katika kuendeleza ujenzi wa soko hilo na kuwaahidi kuwa kamati ya fedha na mipango ya halmashauri itatafuta pesa kwaajili ya kujenga choo cha soko hilo ili mradi huo uanze kuwahudumia wananchi

Hata hivyo ameongeza kuwa hata kama suala hilo litashindikana kwa mwaka wa fedha huu ila halmashauri itajitahidi hata kwenye mwaka wa fedh ujao pesa itapelekwa ili kukamilisha choo na soko kuanza kufanya kazi

“haya mambo ya fedha ni mambo ya kawaida katika mradi wowote, mimi sijawahi kwenda kwenye mradi wowote ambao hauna shida ya hela , mimi najua mtatafuta jinsi na mtapata fedha hizo kidogo zilizo pelea za kumalizia , kwasababu kama misumali kilo tano imebakia mi nadhani mtafanikiwa tu”Amesema Mh.Kihiyo

mwisho

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.