• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Eneo la Utawala
    • Majukumu ya Viongozi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi na Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Radio Ulanga FM
      • Ijue Radio Ulanga FM
      • Vipindi vya Radio Ulanga FM

Naibu waziri aruhusu uchimbaji wa madini Ulanga

Imetumwa: December 14th, 2018

NA.YUSTER SENGO

Naibu waziri wa madini Mh. Dotto Biteko ameruhusu shughuli za uchimbaji madini kuendelea katika wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro baada ya kufungiwa kuendelea na kazi kwa takribani miezi mitano


Akizungumza na wadau wa madini pamoja na wananchi ,mh.biteko amesema kuwa walilazimika kufunga migodi hiyo sababu ya udanganyifu na kutofata taratibu za ulipaji kodi


“Tulikuja hapa mwezi wa sita tukaenda hadi epanko tukaangalia shughuli zinazoendela ,hatukulizishwa ,tukarudi tena mwezi wa saba tarehe kumi,tukalazimika kufunga migodi hiyo ili tuweze kujipanga maana kodi nyingi sana zinapotea kwenye sekta ya madini’’amesema biteko


Aidha ameongeza kuwa zama zimebadilika sana sasa hivi,kwa kuwa serikali ya awamu ya tano inajitahidi sana kuzuia rushwa hivyo mtu akifanya kazi kwa uadilifu anaweza kutajirika


“Badilikeni fateni utaratibu,na ni bora ukachelewa kuanza kufanya kazi kuliko kuanza kufanya kazi kinyume cha utaratibu “amesema Biteko


Aidha ameongeza kuwa pamoja na kuruhusu kwa shughuli za uchimbaji kuendelea,wizara ya madini imezindua ofisi ya madini  iyakayokuawa inashughulikia masuala yote yanayohusu madini wilayani hapa

Hata hivyo ameongeza kuwa wizara ya madini haitamani kufunga mgodi hata mmoja ila kutokana na ukiukwaji wa taratibu wizara inalazimika kufikia hatua hiyo


“Wizara ya madini haitamani kufunga mgodi hata mmoja kwakuwa migodi hiyo inasaidia kuendesha nchi kwa kupitia kodi ila mazingira yanasababisha kufikia kwa hatua hiyo,ameongeza Mh. Biteko

Migodi ya madini ilifungiwa rasmi kuendelea na kazi za uchimbaji tarehe 10/7/2018 na leo tarehe 14/12/2018 migodi hiyo imefunguliwa kwa sharti la wachimbaji kukamilisha malipo yao kwa awamu walizojiwekea na hivyo kuanza kazi ya uchimbaji rasmi


Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA ULANGA October 04, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 22, 2021
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI TARAFA YA VIGOI March 14, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 May 06, 2022
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Hakimu mfawidhi Ulanga atambulisha wiki ya sheria

    January 17, 2024
  • Bonanza la Uhuru lafana Ulanga

    December 08, 2023
  • Kuelekea Siku ya 9 December Viongozi na Wananchi wa Wilaya ya Ulanga wafanya usafi katika Hospital ya Wilaya

    December 06, 2023
  • Angalia Zaidi

Video

Link Kuripoti shuleni
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Vipindi vya Radio Ulanga
  • Majukumu ya Viongozi wa Serikali za Mitaa
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA FFARS
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga

    Anwani ya Posta: P.O. BOX 22

    Telephone: +2550232626340

    Simu: 0763845957

    Barua pepe: ded@ulangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Ulanga District Council . All rights reserved.